Karibu Na Bwana na Mbusa Mbasa

TZS 40,000.00
In stock
SKU
SplKaribu Na Bwana na Mbusa Mbasa

Karibu na Bwana

Karibu Na Bwana na Mbusa Mbasa

KARIBU NA BWANA:

1. Karibu na Bwana twapata pumziko na Amani tele, Amani yake yapita Amani ya Dunia. Asema, nawapa Amani, si kama Dunia itowavyo .
 
2. Zijapo shida za Dunia, Amani yake yatutosha, Hakuna kitakacho tutenga na Mungu. Siku zote, Saa zote, hasinzii kamwe, ananikeshea.
 
3. Ukiwa umesumbuliwa motoni, umwite Yesu, Asema usihofu maana tu pamoja nawe. Usiende mbali naye Bali macho Yako yamtazame yeye.
More Information
Seller THEMBASASBOOKSHOP
Language Kiswahili
Writer Mbusa Mbasa
Duration 00:48
Write Your Own Review
You're reviewing:Karibu Na Bwana na Mbusa Mbasa
Your Rating
Copyright © 2023 - 2025 Mahali Sokoni Trading Company Limited. All Rights Reserved.