Yesu Kristo Mponyaji na Mchg. Dr. Allen Adam Mbiso
TZS 10,000.00
In stock
SKU
SplYesu Kristo Mponyaji na Mchg. Dr. Allen Adam Mbiso
Mpendwa msomaji wa kitabu hiki, hongera sana kwa kuamua kujifunza kutoka katika ujumbe uliomo katika kitabu hiki cha Yesu Kristo Mponyaji! Bwana Yesu Kristo ajidhihirishe kwako kipee kama alivyotenda kwangu na wengine wengi waliopata ufunuo huu.
Pamoja na mambo mengine kitabu hiki kitakusaidia kujua;
• Neema ya uponyaji na ukombozi tunayoipata kupitia kwa Bwana Yesu Kristo.
• Mapenzi ya Mungu katika uponyaji.
• Sababu kwa nini Bwana Yesu Kristo anaponya hata leo.
• Vikwazo vya uponyaji na namna ya kuvishinda.
• Namna ya kutunza uponyaji na ukombozi.
Tarajia kukutana na uponyaji na ukombozi kutoka kwa Bwana Yesu Kristo na tarajia pia kupata ufunuo na neema ya kuwaombea watu wengine wapone
| Seller | MBISOBOOKSSTORE |
|---|---|
| Author | Mchg. Dr. Allen Adam Mbiso |
| Good Read | Yes |
| Total Pages | 128 |
| Publisher | Kiwonyi Printers |
Write Your Own Review





